-
Wito wa kuingia ufalme wa mbinguni.{Somo na Heri Buberwa}
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 29 JUNI, 2025
SIKU YA BWANA YA 2 BAADA YA UTATU
NENO LINALOTUONGOZA NI
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna Wageni waliotufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 22/06/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT