Matangazo ya Usharika tarehe 29 Juni 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 29 JUNI, 2025

SIKU YA BWANA YA 2 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA NI  

WITO WA KUINGIA UFALME WA MUNGU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna Wageni waliotufikia na cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 22/06/2025

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT